Faida za kuanza na mtaji mdogo katika biashara
Faida za kuanza na mtaji mdogo katika biashara Watu wengi ni wajasiriamali wanaotamani kuanza bishara nao wana mawazo mazuri ya kuweza kuanzisha biashara ila hujikuta wamekwama kwa tatitzo la kukosa mitaji kwa ajili ya kuanzisha biashara au kuyafanyia kazi mawazo yao walionayo wanayoamini yanaweza kuwatoa toka sehemu moja kiuchumi hadi sehemu nyingine.Lakini katika msisitizo wangu kwa wote mnaosoma Makala zangu usiogope kwa kua na mtaji mdogo na kutaka mpaka uwe na mtaji mkubwa ili uanze kufanya biashaara ila anza tu .na Kama mtaji unao mdogo kabisa lakini unakuwezesha kuanza usisubiri kumiliki mamilioni ili kuanza kutendea wazo lako . Faida za kuanzisha biashara ukiwa na mtaji mdogo 1.Unapata nafasi ya kuwajua wateja wako . Kwa kuanza na mtaji mdogo unapata nafasi ya kuwajua wapi ni wateja wako unajua umri wao,kipato chao ,tabia zao,tamaduni zao hivyo huo ni utafiti ambao unaufanya kwa k...