ZIFAHAMU FAIDA ZA KUA MJASIRIA MALI
Mjasiria Mali ni nani Ni mwanzilishi mmbunifu mtu mwenye wazo na mtekeleaji wa mawazo ya kibiashara,ni mtu ambaye anauwezo wa kuona fursa nakuamua kuzifanyia kazi zile fursa kwa ajili ya manufaa chanya iwe katika sekta ya kilimo,usafiri,uuzaji bidhaa au utaalamu na kuweza kutengeneza faida kupitia shughuli hiyo 1. Unakua kiongozi wa maisha yako Unaapokua mjasiria mali unapata nafasi ya kua na maamuzi ya maisha yako na wapi unataka kwenda na wapi au kwa kiasi gani unaeza fikia kwa malengo yako ya kimaisha kwani ukiajiriwa utakua ukishi kwa mnyororo ulopangiwa na mjasiria mali aliyeanzisha hiyo kampuni unayoifanya kazi. 2. Uhuru Mjasiria mali anapata uhuru wa kufanya mambo yake na kupanga ratiba zake pia kuweza kufurahia maisha si kama muajiriwa ambaye mda wake unaendesh...